1 Chronicles 24:31

31Pia walipiga kura kama vile ndugu zao wazao wa Haruni walivyofanya, mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na mbele ya viongozi wa jamaa ya makuhani na ya Walawi. Jamaa za ndugu wakubwa zilitendewa sawasawa na zile za ndugu wadogo.
Copyright information for SwhKC